Home » » UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAFANIKIWA KWA ASILIMIA 98.

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAFANIKIWA KWA ASILIMIA 98.

Frank Mvungi- maelezo
SerikaliimesemauchaguziwaSerikalizaMitaauliofanyikajanaKoteNchiniumefanikiwakwa Zaidi yaasilimia 98%katikaMikoayote .
HayoyamesemwanaWaziriwa NchiOfisiyaWaziriMkuuTawalazaMikoanaSerikalizaMitaa (TAMISEMI) HawaGhasiawakatiwamkutanonawaandishiwaHabarileojijini Dar es salaam uliolengakutoaufafanuzikuhuzimafanikioyauchaguzihuo.
AkifafanuaMh. GhasiaamesemakwakiwangokikubwawananchiwalijitokezakupigakuranakuchaguaviongoziwaokatikangaziyaMitaa,Vijiji, naVitongoji.
AkizungumziamafanikioyaUchaguzihuoMh. GhasiaalitajaMikoaambayouchaguziumefanyikakatikaHalmashaurina Kata zotekuwaniArusha,Mbeya,Kagera,Njombe,Singida,Lindi,Ruvuma,KatavinaGeita.
MikoaMingineiliyofanyavizurikatikauchaguzihuoniIringa,Dodoma,MtawaraambapoMh.GhasiaaliwapongezaViongozinawataendajiwotewaMikoanaHalmashaurihizopamojanawananchikwakazikubwananzuriwaliyofanyahadikufanikishauchaguzihuo.
Akitoaufafanuzi Zaidi kuhusumaboreshoyaliyofanywanaSerikalikatikauchaguzihuoMh. Ghasiaamesemakuwamojawaponikuwepokwautaratibuwakupigakurakwakutumiakaratasimaalumzilizochapishwakituambachokatikauchaguziuliopitahakikuwepo.
AkizungumziaMikoaambayobaadhiyaHalmashaurizimeahirishauchaguziamaHalmashauriyote au sehemuya KatazakekwasababumbalimbaliikiwemokuchelewakufikakwavifaavyakupigiakuraMh.Ghasiaaliitajakuwani Kilimanjaro katikaHalmashauriyaWilayayaRombonaHai,ManyarakatikaHalmashaurizaHanangnambulu.
MikoaMingineniMorogorokatikaHalmashuriyaWilayayaUlanganaMvomero,MkoawaShinyangaHalmashauriyaWilayayaMsalala,MkoawaSimiyuHalmashauriyaWilayayaBuseganaItilimaambapoMikoamingineambayokasorondogondogozilijitokezanakupelekeauchaguzikuahirishwakatikabaadhiya Kata niKigoma,Mwanza,Tabora,Tanga,Mara,Rukwa,Pwanina Dar es salaam.
AkizungumziaHatuazitakazochukuliwanaSerikalikufuatiadosarizilizojitokezakatikabaadhiyamaeneoMh. GhasiaamesemaMikoayoteimetakiwaawasilishetaarifarasminakamilifukuhusuyaliyojitokezakatikaHalmashaurizaoambapoWizarayakeitachambuataarifahizoilikubainichanzo cha kasorozilizojitokezailihatuastahikizichukuliwe.
KuhusuHalmashuriambazohazikufanyauchaguzikutokananakasorombalimbaliMh. GhasiaamesemakwamujibuwaKanunizinatakiwakurudiauchaguzihuondaniyasikusabakamakanunizauchaguzihuozinavyoelekeza.
NayeKatibuMkuuOfisiyaWaziriMkuuTAMISEMI  Bw. JumanneSaginialitoawitokwavyombovyahabarikuwekauzalendombelekatikakuripotihabarizauchaguziwaSerikalizaMitaailikusaidiaTaifakukamilishamchakatohuomuhimu.
AkifafanuaSaginiamesemanivyemavyombovyaHabarivikaonyeshamafanikiomakubwayaliyopatikanakatikauchaguzihuopamojanakasorondogondogozilizojitokeza.
UchaguziwaSerikalizaMitaakatikangaziyaMitaa,Vijiji, naVitongojiulifanyikatarehe 14/12/2014 kotenchiniambapotaarifazaawalizimeonyeshakuwazoezi la kupigakuraliliendavizurikatikaMikoaMingi.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Simiyu Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa