Home » » WAPENZI WA MUZIKI WA INJILI WAFURAHI UJIO WA TAMASHA LA PASAKA BARIADI MKOANI SIMIYU,DODOMA JUMAPILI HII.

WAPENZI WA MUZIKI WA INJILI WAFURAHI UJIO WA TAMASHA LA PASAKA BARIADI MKOANI SIMIYU,DODOMA JUMAPILI HII.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh. Anthony Mtaka akisalimia mashabiki akiwa na waimbaji pamoja na baadhi ya viongozi wa wilaya ya Bariadi na mkoa wa Simiyu katika tamasha la Pasaka lililofanyika leo kwenye uwanja wa Halmashauri Mjini Bariadi mkoani Simiyu
Ilikuwa ni buradani na furaha kwa wakazi wa Bariadi na vitongoji vyake wakati waimbaji wa nyimbo za injili walipokuwa wakitumbuiza uwanjani hapo
Baadhi ya mashabiki wa muziki wa injili wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasa hilo
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh. Anthony Mtaka akizungumza na Wakazi wa Bariadi waliojitokeza kwenye tamasha la Pasaka lililofanyika mwishoni mwa wiki kwenye uwanja wa Halmashauri Mjini Bariadi mkoani Simiyu.
Baadhi ya mashabiki wa muziki wa injili wakiburudika wakati waimbaji wa nyimobo hizo walipokuwa wakitumbuisha katika tamasha hilo
Mwimbaji wa muziki wa injili Rose Muhando akiendelea kuwateka mashabiki wake katika tamasha hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika uwanja wa Halmashauri mjini Bariadi mkoani Simiyu.

Mwimbaji wa muziki wa injili Rose Muhando akiimba kibao chake kipya cha “Lazima Wakae” huku akicheza na Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh. Anthony Mtaka katika tamasha la Pasaka lililofanyika jumatatu ya Pasaka kwenye uwanja wa Halmashauri Mjini Bariadi mkoani Simiyu.
Kwaya ya Vijana KKKT-Kimanga wakiimba mbele ya wakazi wa mji wa Bariadi katika uwanja wa Halmashauri,siku ya jumatatu ya pasaka.
Mwimbaji wa nyimbo za Injili Joshua Mlelwa akiimba mbele ya mashabiki wake ndani ya uwanja wa Halmashauri mjini Baridi,ndani ya jumatatu ya Pasaka mkoani Simiyu.
Washabiki wa muziki wa Injili wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri uwanjani hapo
Mwimbaji wa nyimbo za kusifu na kuabudu Sifaeli Mwabuka akiwaimbisha washabiki wake mapema mwishoni mwa wiki jumatatu ya pasaka ndani ya uwanja wa Halmashauri mjini Bariasi mkoani Simiyu.Tamasha hilo lilianzia mkoani Mwanza na baadaye kufanyika simiyu na jumapili hii ndani ya mkoa wa Dodoma katika uwanaja wa Jamuhuri.
Wapenzi wa muziki wa Injili wakifurahia waimbaji katika tamasha hilo la Jumatatu ya pasaka mjin Bariadi mkoani Simiyu.
Mwimbaji machachari wa nyimbo za Injili Martha Baraka akiimba pamoja na mashabiki wake
Baadhi ya Wapenzi wa nyimbo za Injili wakishangilia vilivyo mara baada ya muimbaji Martha Baraka kushuka jukwaani na kuwafuata mashabiki wake uwanjani
Mwimbaji wa muziki wa injili Rose Muhando akiimba kibao chake kipya cha “Lazima Wakae” k
huku akicheza na Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh. Anthony Mtaka katika tamasha la Pasaka lililofanyika leo kwenye uwanja wa Halmashauri Mjini Bariadi mkoani Simiyu huku likihudhuriwa na mashabiki lukuki wa mji huo.

Mwimbaji wa muziki wa injili Rose Muhando akiendelea kuwateka mashabiki wake katika tamasha hilo lililofanyika leo kwenye uwanja wa Halmashauri mjini Bariadi mkoani Simiyu.


Baadhi ya mashabiki wa muziki wa injili wakiburudika wakati waimbaji wakifanya vitu vyao katika tamasha hilo.


Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh. Anthony Mtaka akicheza na Mc wa tamasha hilo MC Mwakipesile na baadhi ya viongozi wa mkoa wa Simiyu pamoja na wasanii wa Rose Muhando katika tamasha la Pasaka lililofanyika leo kwenye uwanja wa Halmashauri Mjini Bariadi mkoani Simiyu


Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh. Anthony Mtaka akizungumza na wananchi katika tamasha la Pasaka lililofanyika leo kwenye uwanja wa Halmashauri Mjini Bariadi mkoani Simiyu


Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh. Anthony Mtaka akisalimia mashabiki akiwa na waimbaji pamoja na baadhi ya viongozi wa wilaya ya Bariadi na mkoa wa Simiyu katika tamasha la Pasaka lililofanyika leo kwenye uwanja wa Halmashauri Mjini Bariadi mkoani Simiyu


Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh. Anthony Mtaka akiwa na viongozi wenzake pamoja na waimbaji pamoja na baadhi ya viongozi wa wilaya ya Bariadi na mkoa wa Simiyu katika tamasha la Pasaka lililofanyika leo kwenye uwanja wa Halmashauri Mjini Bariadi mkoani Simiy.


Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh. Anthony Mtaka akizungumza na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion katika tamasha la Pasaka lililofanyika leo kwenye uwanja wa Halmashauri Mjini Bariadi mkoani Simiyu


Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh. Anthony Mtaka na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion wakimisikiliza MC Mwakipesile alipokuwa akimkaribisha mkuu wa mkoa huyo katika tamasha la Pasaka lililofanyika leo kwenye uwanja wa Halmashauri Mjini Bariadi mkoani Simiyu


Mwimbaji Dan M kutoka nchini Kenya akiimba na mashabiki wake katika tamasha hilo.


Mwimbaji Jesca Honore naye akafanya jambo katika tamasha hilo.


Picha zikionyesha baadhi ya mashabiki wakifuatilia tamasha hilo.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion akizungumza na watoto na vijana mbalimbali ambao walikuwa nje ya uwanja wakiwa hawana kiingilio katika tamasha hilo nambapo baadaye aliwakati tiketi na kuwagawia wakaingia kwenye tamasha.
Suifaeli Mwabuka akiimba na mashabiki wake.
Joshua Mlelwa hapo hampigi mtu teke bali anacheza na mashabiki wake kama unavyowaona.
Moja ya Kwaya kitumbuiza katika tamasha hilo.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Simiyu Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa