Home » » WILAYA YA ITILIMA YAWEKA MIKAKATI YA KUKUSANYA MAPATO

WILAYA YA ITILIMA YAWEKA MIKAKATI YA KUKUSANYA MAPATO

Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu imepanga kukusanya jumla ya shs 26,912,534,312  kwa ajili ya matumizi yake ya kawaida.

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya hiyo Dkt Leonard Masare amesema makusanyo hayo yatatokana katika vyanzo mbalimbali vya mapato.

Amesema mapato hayo katika kukusanya mapato hayo halmashauri itatumia mawakalaili kuongeza ukusanyaj, kutoa elimu kwa walipa kodi .

Kuboresha mikataba ya ukusanyaji wa mapato ya ndani kati ya mawakala na halmashauri.

Amesema malengo makuu ya halmashauri hiyo ni kujenga uwezo wa kiutawala katika ngazi zote,na kuiwezesha jamii kushiriki  shughuli mbalimbali za maendeleo.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Simiyu Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa