JESHI la Polisi
Mkoani Simyu limeweka mikakati mbalimbali katika kupambana na vitendo vya
uharifu.
.
Kamanda wa
Polisi Mkoani hapa Sallum Msangi amesema mikakati hiyo imewekwa ili
kupambana na vitendo vya uharifu na mauaji vinavyotokea mkoani hapa.
Mikakati
hiyo ni kuishinikiza jamii iwe na mwamko wa kutoa ushirikiano katika
kubaini vitendo viovu miongoni mwa watu wanaowashuku.
Utekelezwaji
wa falsa ya jamii kuweza kuwabaini na wafichua waharifu ikiwemo wanaojihusisha
na wauaji na biashara haramu za madawa ya kulevya.
Amesema
amekuwa akipita maeneo yote yaliyo ndani ya Mkoa kwa kuielekeza jamii namna ya
kuwatambua na kuwabaini waharifu.
Tayari waendesha
pikipiki maarufu Bodaboda Elfu 1000 mkoani hapa wamepatiwa mafunzo hayo
na kupatiwa vyeti na jeshi la polisi.
0 comments:
Post a Comment