Home » » MAISHA MAGUMU YASABABISHA AKINA MAMA KUENDELEA KUTENGENEZA POMBE YA GONGO SIMIYU.

MAISHA MAGUMU YASABABISHA AKINA MAMA KUENDELEA KUTENGENEZA POMBE YA GONGO SIMIYU.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
 Mmoja wa akina Mama akiwa katika Kutengeneza pombe hiyo isiyo Rasmi, huko Simiyu
 Hawa ni Baadhi ya watu wakiwa katika mtambo huo Kijijini Simiyu

Baadhi ya akina Mama wameamua kutengeneza Pombe Haramu ya Gongo wakidai kuwa wanafanya hivyo kutokana na hali Ngumu ya Maisha, wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema kwamba kumekuwa na maisha magumu hali iliyosababisha wajihusishe na bishara hiyo na kudai kwamba ndio njia pekee inayo wapatia Kipato zaidi.

Hata hivyo Juhudi zinaendelea kufanyika ili kukutana na wahusika zaidi wanaoishi eneo hilo kujua kama kweli wapo sawa na pombe hiyo kuuzwa katika maeneo hayo.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Simiyu Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa