Home » » Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye Wawasili Busega

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye Wawasili Busega


Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikutana na rafiki  Deogratius Mtale yake aliyesoma nae shule ya msingi West Meru mwaka 1967 Kinana na rafiki yake huyo wamekutana leo katika kijiji cha Mwanandi kata ya Mwamanyiri,wilaya ya Busega mkoani Simiyu.
 Katibu Mkuu akishiriki kujenga ofisi ya kata ya CCM Mwamanyili.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kijiji cha Nyamatenda kata ya Shigala akiwa amesimama na balozi wa shina namba 1 Sofia Kayenze.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akisimikwa kuwa mshauri mkuu(Mnang'oma) na wazee wa wilaya ya Busega katika eneo alilolala Rais Julius Kambarage Nyerere katika matembezi ya kuunga mkono Azimio la Arusha 20.02.1967
 gz13:Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimkabidhi pikipiki kiongozi wa Kikundi cha Bodaboda Gasper Mabula wa kata ya Nyashimo wilaya ya Busega ,Pikipiki mbili zimekabidhiwa ikiwa sehemu ya ahadi  ya mbunge wa Busega Dk. Titus Kimani
 gz11:Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana,Katibu  wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye pamoja na balozi wa shina namba 1 Sofia Kayenze wakila chakula cha pamoja cha asili Michembe na Karanga.Picha Zote na Adam Mzee

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Simiyu Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa