Home » » WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS AKAGUA UTEKELEZAJI WA MRADI WA CHANZO CHA MAJI CHA IGOMBE

WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS AKAGUA UTEKELEZAJI WA MRADI WA CHANZO CHA MAJI CHA IGOMBE

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Jengo linaloonekana katika Picha ni sehemu ya kupokelea maji yanayotoka chini ya mchanga na kupanda bila pump katika mabomba ndani ya jengo hilo na kuja kusambazwa kwa wakazi kwa vijiji jirani kwa matumizi ya nyumbani
 Chanzo cha maji cha ajabu kikiwa chini ya Mchanga, ambapo juu hakuna maji yoyote yanayoonekana badala yake ni mchanga unaonekana kama mto uliyokauka maji,   chanzo hiki kipokatika kijiji cha Igombe wilayani Meatu.
 Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mungano na Mazingira Mhe.Luhaga Mpina ambaye pia ni Mbunge wa Kisesa akiongea na wadau hawapo katika picha kuhusu utekelezaji wa mradi wa chanzo cha maji cha Igombe, Mwandoya Mkoani Simiyu.
 Jengo ya la wodi ya wazazi linaloendela kujengwa katika zahanati ya Mwandoya iliyopojimboni Kisesa katika Wilaya ya Meatu.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Simiyu Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa