Home » » Afya ya Uzazi na Jinsia kwa Vijana chachu ya Maendeleo kwa Jamii‏

Afya ya Uzazi na Jinsia kwa Vijana chachu ya Maendeleo kwa Jamii‏

  
4790: Mtaalamu wa Afya ya Uzazi kutoka  chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania Mkoa wa Mwanza  Bi,Jacinta Mutakyawa (Aliyesimama)  akiongea na waratibu wa Ukimwi,Maafisa Vijana na Wadau mbalimbali juu ya haki za Afya ya Uzazi na Ujinsia leo jijini Mwanza.Haki izo zikiwemo haki ya kuwa huru  dhidi ya vitendo vya ukatili na haki ya kuchagua na kupanga uzazi.
 Mratibu wa Ukimwi kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bw,Musa Varisanga(Aliyevaa Miwani)  akifurahia jambo na Mratibu wa Vijana kutoka Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania Bi,Grace Kessy(wa Kwanza Kulia)  leo jijini Mwanza inapofanyika Warsha ya Stadi za Maisha na Afya ya Uzazi  katika hoteli ya Midland.

  Baadhi ya washiriki kutoka Mkoa wa Simiyu,Bariadi wakiwasilisha Mada kuhusu Matokeo ya Ukuaji wa Mwanadamu mbele ya washiriki wenzao  leo hii jijini Mwanza inapoendelea Warsha ya Stadi za Maisha na Afya ya Uzazi.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Simiyu Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa