TARURA YAPONGEZWA KWA KUFANYA VIZURI BARIADI, MWAKA WA FEDHA 2023/2024

TARURA Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi inahudumua barabara zenye urefu wa jumla ya km 607.49. Hayo yamesemwa katika kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya nne, kilichofanyika tarehe 30/7/2024 ndani ya ukumbi wa halmashauri, kijiji cha Isenge.Akiwasilisha taarifa hiyo, Kaimu Meneja TARURA, Mhandisi, Khalid Mang'ola amesema kwa  km 607.49, barabara za Mkusanyo ni km 199.79, barabara za Mlisho ni km 353.23 na barabara za Jamii ni km 54.47. " Kati ya barabara hizo km 224.77 sawa na 37% zinapitika kwa kipindi chote cha mwaka, km 219.54 sawa na 36.14% ni za wastani na km 163.18 ambazo ni 26.86% ziko katika hali mbaya na zinapitika kwa shida...

IJUE BANUAI YA HALMASHAURI YA WILAYA BARIADI

 Afisa Wanyamapori  Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi, Ndg. Kwembea Senso akieleza kwa undani kuhusu Banuai ya Wilaya ya Bariadi pia mafanikio na fursa zinazopatikana kutokana na Banuai ya  Wilaya ya Baria...

WAPENZI WA MUZIKI WA INJILI WAFURAHI UJIO WA TAMASHA LA PASAKA BARIADI MKOANI SIMIYU,DODOMA JUMAPILI HII.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh. Anthony Mtaka akisalimia mashabiki akiwa na waimbaji pamoja na baadhi ya viongozi wa wilaya ya Bariadi na mkoa wa Simiyu katika tamasha la Pasaka lililofanyika leo kwenye uwanja wa Halmashauri Mjini Bariadi mkoani Simiyu Ilikuwa ni buradani na furaha kwa wakazi wa Bariadi na vitongoji vyake wakati waimbaji wa nyimbo za injili walipokuwa wakitumbuiza uwanjani hapo Baadhi ya mashabiki wa muziki wa injili wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasa hilo Mkuu wa mkoa wa Simiyu...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Simiyu Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa